TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo katika utekelezaji wa programu ya kushirikisha vijana katika kilimo ya Jenga Kesho Iliyo bora (Building a Better tomorrow- BBT) wanawaarifu Waombaji wa nafasi za ajira za muda kupitia program maalum ya kuendeleza zao la Pamba nchini zilizotangazwa tarehe 12.12.2023, kuwa wanaitwa kwenye usaili katika Kampasi ya Edward Moringe Mjini Morogoro, kama ifuatavyo:

Share this page